Jumamosi, 12 Julai 2014

DIBAJ AKUTANA NA TAJILI WA DUNIA

D' Banj adata baada ya kukutana na Bill Gates!


Muziki ni kitu kinachoweza kukufanya kukutana au kubadilishana mawazo na watu usiowategemea,pengine ulikuwa unasoma habari zao au kuwaona kwenye televisheni tu na kufikiri kuja kuonana nao ni ndoto.. ndicho kilichotokea kwa D'banj aliyepata shavu la kuonana na kupiga picha na watu matajiri duniani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni