Alhamisi, 23 Machi 2017

Nape Nnauye atumbuliwa, nafasi yake yachukuliwa na Dk. MwakyembeS

Nape Nnauye atumbuliwa, nafasi yake yachukuliwa na Dk. MwakyembeS




Rais Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa mheshimiwa Nape Nnauye kama Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Badala yake amemtua Dkt Harrison Mwakyembe kushika nafasi hiyo. Chini ni taarifa ya uteuzi huo mpya:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni