Jumatatu, 20 Machi 2017

Nick wa Pili avipa tano vyombo vya habari, awachana wasanii kuwa ‘makunguru’

Nick wa Pili avipa tano vyombo vya habari, awachana wasanii kuwa ‘makunguru’






Rapper Nick wa Pili amefurahishwa na umoja uliooneshwa na vyombo vya habari katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na hali tete baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuvamia kituo hicho Usiku wa Ijumaa iliyopita kutokana na video za CCTV kamera zilivyoonyesha.
Nick ametoa pongezi hizo kupitia mtandoa wa Twitter lakini pia amewachana wasanii wenzake ambao wamekuwa hawana umoja katika kutafuta maslahi yao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni