Jumanne, 15 Julai 2014

RIHANNA NA MSHIDAJI WA UJERUMANI GOTZE

Picha, Rihanna Akiwa Na Mario Götze,Mchezaji Wa Ujerumani Aliyefunga Goli La Ushindi Kwenye World Cup

Baada ya ushindi mkubwa wa kombe la dunia, timu ya Ujerumani ilijiachia sehemu tofauti na mastaa waliokuja kuangalia michezo hio akiwemo Rihanna ambaye mwishoni mwa kombe la Dunia alitangaza kuwa TeamGermany. Kwenye hii picha Rihanna anaonekana na Gotze baada ya ushindi wa Ujerumani.
rihanna

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni