Jumanne, 15 Julai 2014

CLOUD ANGALIA IYO

MKUBWA NA WANAE PAMOJA NA MKUBWA FERA NDANI YA CLOUDS MEDIA WAKITAMBULISHA KAZI ZAO NA PLAN ZAO ZA BAADAE

MPOTO APATA SIFA

MRISHO MPOTO APATA SIFA KWA STAIRI YAKE YA KUTEMBEA PEKU ADAIWA AWA MUAFRICA WA KWANZA KUITAMBULISHA AZI YAKE YA KIAFRIKA KULIKO WATU WENGINE

MTOTO WA AX NI NOMA

UYU NDO MTOTO QA AX NA YUKO KAMA BABA YAKE NINOMA

RIHANNA KUMBE MSHABIKI WAGERUMANI

Picha, Rihanna Akiwa Pewa Busu Na Lukas Podolski Na Bastian Schweinsteiger Wa Ujerumani.

rr 3Picha za Rihanna na wachezaji wa Ujerumani baada ya mechi ya fainali ya kombe la dunia kuisha pale Maracanã Stadium mjini Rio de Janeiro, Brazil. Rihanna alionekana akijiachia na Mario Götze,Lukas Podolski ,Bastian Schweinsteiger .
rihann 3

RIHANNA NA MSHIDAJI WA UJERUMANI GOTZE

Picha, Rihanna Akiwa Na Mario Götze,Mchezaji Wa Ujerumani Aliyefunga Goli La Ushindi Kwenye World Cup

Baada ya ushindi mkubwa wa kombe la dunia, timu ya Ujerumani ilijiachia sehemu tofauti na mastaa waliokuja kuangalia michezo hio akiwemo Rihanna ambaye mwishoni mwa kombe la Dunia alitangaza kuwa TeamGermany. Kwenye hii picha Rihanna anaonekana na Gotze baada ya ushindi wa Ujerumani.
rihanna

ALLEN SHOW NI NOMA AISEE ANGALIA LOSEE

VIPAJI VYA AJBU KWA WATOTO AWA