Jumamosi, 12 Julai 2014

diamod mapokezi


ANGALIA PICHA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ AKITOKEA MAREKANI KATIKA TUZO ZA BET

MCHANGIE DADA UYU KWA KUWASILIANA NASII

*NIMEICHUKUA SEHEMU TAFADHALI USIPITE BILA KUSOMA*

Jina langu naitwa Rebecca, Kwa niaba ya binti wangu mwenye umri wa miaka 16 naomba uchukue muda wako na kuusoma ujumbe huu wangu kwako..

Ninaamini una mama, dada, rafiki yako wa kike au mke pia. Na wote ni mwanwake kama mimi na binti yangu.

Angalia katika picha hii. Binti yangu amekuwa akisumbuliwa na kansa kwa zaidi ya miaka mitatu sasa,Kansa ililiathiri ziwa lake moja na sasa imesambaa na kuliathiri ziwa la pili pia.

Tangu hapo maisha yamekuwa ni ya maumivu, huzuni na machozi kila mara. 

Nimetembelea hospitali mbalimbali, nimetumia fedha nyingi bila mafanikio na sasa nimebaki kuwa maskini ninaye lia nyakati zote huku nikipitia maumivu makubwa moyoni mwangu hasa nikimwamngalia binti yangu. 

Nakuomba ndugu yangu unayeisoma habari hii kuwa nami katika maombi ili wanangu apate unafuu wa maumivu haya na mimi na hatimaye furaha na ule ucheshi na ndoto zetu na mwanagu zirejee tena.

"Mungu wetu naomba umlinde mtoto wako na kumpa unafuu wa maumivu anayoyapitia sasa na kuwalinda wanawake wote huku ukiwaepusha na ugonjwa huu mbaya"

Kama una moyo wa huruma na wenye kuelewa kipindi kigumu ambacho mimi na binti yangu tunakipitia kwa sasa tafadhali usiudharau ujumbe huu.

Ni Mungu pekee mwenye uweza wa kutusaidia katika kipindi hiki kigumu na cha maumivu na huzuni..

Comment AMEN ili kumwomba Mungu awalinde dada zetu, mama zetu, marafiki zetu wa kike, wake zetu katika ugonjwa mbaya wa kansa ( saratani)!!!

SHARE ujumbe huu baada ya kukoment ili kuwapa nafasi watu wengine waweze ku-comment na ujumbe huu usambae*NIMEICHUKUA SEHEMU TAFADHALI USIPITE BILA KUSOMA*
Jina langu naitwa Rebecca, Kwa niaba ya binti wangu mwenye umri wa miaka 16 naomba uchukue muda wako na kuusoma ujumbe huu wangu kwako..
Ninaamini una mama, dada, rafiki yako wa kike au mke pia. Na wote ni mwanwake kama mimi na binti yangu.
Angalia katika picha hii. Binti yangu amekuwa akisumbuliwa na kansa kwa zaidi ya miaka mitatu sasa,Kansa ililiathiri ziwa lake moja na sasa imesambaa na kuliathiri ziwa la pili pia.
Tangu hapo maisha yamekuwa ni ya maumivu, huzuni na machozi kila mara.
Nimetembelea hospitali mbalimbali, nimetumia fedha nyingi bila mafanikio na sasa nimebaki kuwa maskini ninaye lia nyakati zote huku nikipitia maumivu makubwa moyoni mwangu hasa nikimwamngalia binti yangu.
Nakuomba ndugu yangu unayeisoma habari hii kuwa nami katika maombi ili wanangu apate unafuu wa maumivu haya na mimi na hatimaye furaha na ule ucheshi na ndoto zetu na mwanagu zirejee tena.
"Mungu wetu naomba umlinde mtoto wako na kumpa unafuu wa maumivu anayoyapitia sasa na kuwalinda wanawake wote huku ukiwaepusha na ugonjwa huu mbaya"
Kama una moyo wa huruma na wenye kuelewa kipindi kigumu ambacho mimi na binti yangu tunakipitia kwa sasa tafadhali usiudharau ujumbe huu.
Ni Mungu pekee mwenye uweza wa kutusaidia katika kipindi hiki kigumu na cha maumivu na huzuni..
Comment AMEN ili kumwomba Mungu awalinde dada zetu, mama zetu, marafiki zetu wa kike, wake zetu katika ugonjwa mbaya wa kansa ( saratani)!!!
SHARE ujumbe huu baada ya kukoment ili kuwapa nafasi watu wengine waweze ku-comment na ujumbe huu usambae

DIBAJ AKUTANA NA TAJILI WA DUNIA

D' Banj adata baada ya kukutana na Bill Gates!


Muziki ni kitu kinachoweza kukufanya kukutana au kubadilishana mawazo na watu usiowategemea,pengine ulikuwa unasoma habari zao au kuwaona kwenye televisheni tu na kufikiri kuja kuonana nao ni ndoto.. ndicho kilichotokea kwa D'banj aliyepata shavu la kuonana na kupiga picha na watu matajiri duniani.

HEMEDI ASEMA


HATARI : HEMED PHD AFUNGUKA KUHUSU IDADI YA MASTAA WA KIKE ALIOFANYA NAO...BILA KINGA...!

RIHANA NOMA

PICHA: Rihanna akikatiza na Night dress kitaani!


Rihanna anazidi kutoa kali linapokuja swala la mavazi ambapo safari hii atinga nguo ya kulalia (night dress) na raba na kukatiza kitaani bila wasiwasi! Jionee mwenyewe..

KIJANA ANAEKUJA JUU KWENYE TASNIA YA SANAA-WACH KIONJO CHAKE

ANGALIA
1-BONYEZA
2-BONYEZA KUANGALIA TENA