ANGALIA PICHA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ AKITOKEA MAREKANI KATIKA TUZO ZA BET
Tarehe
10/7/2014 ni siku ambayo Star wa muziki wa Bongo fleva nchini Tanzania
Diamond Platnumz, ambaye anachafua anga la muziki kwa sasa kwa utunzi na
uimbaji wake alitua katika Uwanja wa Ndege Mwal. Jurius Nyerere, mnamo
mishare ya saa nne na nusu za usiku akitokea nchini Marekani ambapo
alikua huko kushiriki katika Tuzo kubwa Dunia BET awards, ambazo
hufanyika kila mwaka, Diamond alikua katika kategori ya Best African Act
ambayo ilichukuliwa na Davido kutoka Nigeria.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni