Arsenal kuchuana na Liverpool
Arsenal itamkagua mshambuliaji Danny Welbeck ambaye ana jeraha la goti. Steven Gerrard na Martin Skrtel wanahudumia marufuku
- 3 Aprili 2015
Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri
Tanzania,Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi zitakashiriki michuano ya Afrika ya tenisi kwa vijana chini ya miaka 18.
- 3 Aprili 2015
Kila lakheri Young Africans
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewatakia kila la kheri wawakilishi pekee wa Tanzania Young Africans.
- 3 Aprili 2015
Wenger na Giroud watuzwa na EPL
Olivier Giroud na kocha Arsene Wenger wamechaguliwa kama washindi wa taji la mwezi la mchezaji bora na mkufunzi bora
- 3 Aprili 2015
Twiga Stars kuikabili She-polopolo
Twiga Stars,itashuka dimbani kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuwakarisbisha timu ya taifa Zambia 'The She-Polopolo'.
- 3 Aprili 2015
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni