Nature akiweka maiki vizuri ili akamue ipasavyo.
Mashabiki wakimshangilia Nature baada ya kupanda jukwaani.
.…Akikamua kama kawaida yake.(P.T)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo jana.
(Picha na Freddy Maro / Ikulu)(P.T)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni