Jumatatu, 1 Juni 2015

MIAKA 16 YA JUMA NATURE YATIA FORA

Nature akiweka maiki vizuri ili akamue ipasavyo.
Mashabiki wakimshangilia Nature baada ya kupanda jukwaani.
.…Akikamua kama kawaida yake.(P.T)
Read more...

JK AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR

Published in Jamii
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo jana.
(Picha na Freddy Maro / Ikulu)(P.T)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni